This is a development site, TESTING ONLY

Mkataba wa mwisho wa amani watiwa saini nchini Sudan Kusini

Publication year
2018
Abstract

Je, amani ya kudumu inakuja nchini Sudan Kusini ? Hatimaye, rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar wametia saini mkataba wa mwisho wa amani baada ya mazungumzo ya miezi kadhaa jijini Khartoum nchini Sudan, ambao pamoja na mambo mengine, unasitisha vita na kuwezesha kuundwa kwa serikali ya pamoja, huku Machar akitarajiwa kurejea kama Makamu wa kwanza wa rais.

Access
“Open” means that the resource is available to view, but please check the weblink for restrictions on use. “Restricted” means that the resource is not openly accessible to all, but you can purchase a copy, or your organisation might have an institutional subscription.
Source type
Country
Language(s)